Unapitia kipindi kigumu na unatamani kupata sala itakayokuongoza kwenye kuifungua akili yako ipate kufanya kazi kufuatana na Mpango wa Mungu kwenye maisha yako. Sikiliza na fuata sala hii Neno: Ayubu 32:8 โLakini imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi za Mwenyezi huwapa akili.โ
Weka mikono yako juu ya kichwa ili tufanye maombi ambayo Mungu atafuatilia muunganiko wa ubongo wako na akili zako. Kama kuna mapepo katika akili zako yataachia tu kwa jina la Yesu.
Omba Mungu aponye akili zako na kuweka huo muunganiko vizuri kwa Damu ya Yesu. Nyunyiza Damu ya Yesu juu yako.
Pia kama hujaokoka hakikisha unaokoka, angalia link ya sala ya Toba na kitabu cha Hongera kwa kuokoka. Pia kama una ndugu yako unataka Mungu amponye akili zake andika jina lake tuma kwa namba za maombi tulizokuweka pale juu mwanzo wa somo hili.
Kwa taarifa zaidi na kutoa sadaka kwa Mwalimu Christopher Mwakasege
NAMBA ZA SADAKA NA MAOMBI
๐๐ผ https://goo.gl/7XcFiP
NAMNA YA KUPATA KANDA, CDs & DVDs BONYEZA HAPA
๐๐ผ https://goo.gl/xrSwmN
MAOMBI YA KUOKOKA NA KITABU CHA HONGERA KWA KUOKOKA.
๐๐ผ https://goo.gl/XKoJNB